Tunatangaza ufunguzi wa maombi kwa ajili ya masomo ya mwezi Septemba! Karibu ujiunge na chuo chetu na ufurahie fursa nyingi katika kozi zifuatazo:
Kozi za Cheti na Stashahada
- Kilimo
- Maendeleo ya jamii
Kozi za VETA
- Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (ICT)
- Matumizi ya Kompyuta (Computer Application)
Tuma maombi sasa ili kuanzisha safari yako kuelekea mustakabali wa ndoto yako, kwani Madarasa yataanza tarehe 18 Machi 2024.
Mwisho wa Kuwasilisha Maombi: tarehe 5 Septemba 2024
Tuma Maombi HAPA
Kwa mawasiliano zaidi tupigie kwa namba 0685506450 / 0679550047