DIRISHA LA UDAHILI MWAKA WA MASOMO 2025/2026 KWA MUHULA WA MWEZI WA TISA.
Mkuu wa Chuo cha Dododma Institute of Development and Entrepreneurship Studies (DIDES) anawataarifu wahitimu wote kuwa dirisha la maombi ya kujiunga na mafunzo ya Astashahada na Stashahada katika kozi ya maendeleo ya jamii (community development) na kilimo (Agriculture Production) kwa mhula wa mwezi wa tisa katika mwaka mpya wa masomo wa 2025/2026 liko wazi. Aidha, Ofisi inapenda […]
DIRISHA LA UDAHILI MWAKA WA MASOMO 2025/2026 KWA MUHULA WA MWEZI WA TATU.
Mkuu wa Chuo cha Dododma Institute of Development and Entrepreneurship Studies (DIDES) anawataarifu wahitimu wote kuwa dirisha la maombi ya kujiunga na mafunzo ya Astashahada na Stashahada katika kozi ya maendeleo ya jamii (community development) na kilimo (Agriculture Production) kwa mhula wa mwezi wa tatu katika mwaka mpya wa masomo wa 2025/2026 liko wazi. Aidha, Ofisi inapenda […]
DIRISHA LA UDAHILI MWAKA WA MASOMO 2024/2025
Mkuu wa Chuo cha Dododma Institute of Development and Entrepreneurship Studies (DIDES) anapenda kuwataarifu wahitimu wote kuwa dirisha la maombi ya kujiunga na mafunzo ya Astashahada na Stashahada katika kozi ya maendeleo ya jamii (community development) na kilimo (Agriculture Production) kwa mhula wa mwezi wa tisa katika mwaka mpya wa masomo wa 2024/2025 liko wazi. Aidha, Ofisi […]
DIRISHA LA UDAHILI MWAKA WA MASOMO 2023/2024
Mkuuwa Chuo cha Dododma Institute of Development and Entrepreneurship Studies (DIDES) anapenda kuwataarifu wahitimu wote kuwa dirisha la maombi ya kujiunga na mafunzo ya Astashahada na Stashahada katika kozi ya maendeleo ya jamii (community development) na kilimo (Agriculture Production) kwa mhula wa mwezi wa tisa katika mwaka mpya wa masomo wa 2023/2024 liko wazi. Aidha, Ofisi inapenda […]
RELEASE OF ACADEMIC RESULTS
The Principal, Dodoma Institute of Development and Entrepreneurship Studies, DIDES has released academic results for student undertaking AGRICULTURE PRODUCTION for Batch B3, B4 and B5 and COMMUNITY DEVELOPMENT Batch B6, B7, B8, B9 and B10 The results is accessible through DIDES Information Syatem on student profiles. For any concern on the released academic results please […]
DIRISHA LA UDAHILI KWA MUHULA WA MWEZI WA TISA 2022/2023
Mkuu wa Chuo DIDES anapenda kuwataarifu kuwa tayari tumefungua dirisha la maombi ya kujiunga na mafunzo ya Astashahada na Stashahada katika fani mbali mbali kwa Mwaka wa Masomo 2022/23 Muhula wa mwezi wa Tisa. Aidha, Ofisi inapenda kuwataarifu kuwa maombi ya kujiunga yanatakiwa kufanyika kupitia fomu zilizotolewa na chuo. Pia maombi yanaweza kufanyika kwa njia […]